Breaking News →

Mwimbaji na muigizaji maarufu kutoka nchini Marekani,Whitney Houston,amefariki dunia muda mfupi uliopita(Jumamosi mchana saa tisa na dakika hamsini na tano kwa saa za Marekani-Pacific) akiwa na umri wa miaka 48. Whitney Houston ambaye ni miongoni mwa waimbaji waliokuwa na kipaji cha aina yake katika uimbaji,amekutwa na walinzi wake wa karibu(bodyguards) akiwa hajitambui katika gorofa ya nne ya chumba cha hotel ya The Beverly Hilton alipokuwa amefikia. Watu wa dharura walijaribu kuokoa maisha yake bila mafanikio na hivyo ikatangazwa rasmi kwamba amefariki.
Mwimbaji na muigizaji maarufu kutoka nchini Marekani,Whitney Houston,amefariki dunia muda mfupi uliopita(Jumamosi mchana saa tisa na dakika hamsini na tano kwa saa za Marekani-Pacific) akiwa na umri wa miaka 48. Whitney Houston ambaye ni miongoni mwa waimbaji waliokuwa na kipaji cha aina yake katika uimbaji,amekutwa na walinzi wake wa karibu(bodyguards) akiwa hajitambui katika gorofa ya nne ya chumba cha hotel ya The Beverly Hilton alipokuwa amefikia. Watu wa dharura walijaribu kuokoa maisha yake bila mafanikio na hivyo ikatangazwa rasmi kwamba amefariki.