Showing posts with label USHAURI. Show all posts
Showing posts with label USHAURI. Show all posts

Monday, March 5, 2012

UJUMBE WA LEO (SHERIA)

MWANAMKE WA TANZANIA
Wakati ni wako na ni muhimu kwako kama mwanamke mwenye maendeleo kuwa na ufahamu wa sheria zinazomuhusu mwanamke kama sheria za ndoa, Mirathi, uangalizi na haki kwa mtoto wako, ili kuweza kuupinga unyanyasaji na ukandamizaji wa mwanamke katika jamii.
"Amka Mwanamke utetee Haki zako"
Usichoke kutembelea blog yako ya H&I ili upate habari mbalimbali kuhusu sheria
By. Janeth Saganya
Law Lecturer, Mount Meru University

Wednesday, February 29, 2012

NAFIKAHEDI SINGO SHARING WITH YOU THE MESSAGE OF " AN OVERCOMING FAITH"




We were created to be in relationship with God, and when we take that relationship to an intimate level, it bonds us not only to His presence but also to His strength. Prayers that express our hurts and emotions are most

Labels